Chapisho hili limeandaliwa na REPOA kama sehemu ya ushirikiano na Mahakama ya Tanzania. Mahakama imewahusisha REPOA kama Taasisi huru ili kupima jinsi wananchi wanavyoridhishwa na utoaji wa huduma za Mahakama. Zoezi hili lililenga kutoa mrejesho wa huduma zinazotolewa na Mahakama ikilinganiswa na matarajio ya watumiaji na watumishi tangu utafiti wa awali ulipofanyika mwaka 2015 hadi sasa. Hii itaongeza uelewa kwa Mahakama kuhusu matokeo ya jitihada zake wakati wa utekelezaji wa Mipango-Mkakati miwili ya kuboresha huduma mbalimbali zinazotolewa na Mahakama.
Tafadhali bonyeza kitufe kilichoandikwa “Download .PDF” ili kupakua/ kuendelea kusoma ripoti hii…
Related Articles
Public Expenditure Review of Education Sector in Tanzania (Primary and Secondary)
Various studies have confirmed that the provision of quality education depends very much on, among other factors, the amount of budget allocated for education. Thus, the government of Tanzania has committed itself to investing in education by increasing public spending on the education sector with basic education (pre-primary, primary and secondary) receiving the highest proportion […]
Implication of 4th Industrial Revolution on Tax Revenue Collection in Tanzania: A Case of Manufacturing Industries
This study assessed the implication of the Fourth Industrial Revolution (4IR) on tax revenue collection in Tanzania. Specifically, the study sets out to establish the causality of investment in 4IR technologies, on manufacturing industries’ Value Added Tax (VAT); determine the influence of investment in 4IR technologies on manufacturing industries’ Corporate Tax and examine the effects […]
The Impact of Recent Policy Developments on Enterprise Development and Competitiveness in Tanzania
This paper is the output of the second component of a research study on the institutional analysis of the enterprise economy in Tanzania. The overall objective is to examine the implication of policy developments at the global, regional and national level on enterprise development and competitiveness (EDC). Specifically, the paper (a) identifies and analyses policies […]
Analysis of Budget Sustainability in Tanzania
This study seeks to assess and analyse Tanzania’s Government budget and its implementation – and goes on to outline key challenges and best workable recommendations for addressing the challenges identified. The study mainly focuses on a period of the last ten years up to the financial year 2020/2021. READ ON…!