Kitabu hiki kina sura saba ambazo zinaangalia sera mabali mbali kuhusu maendeleo vijijini na mchango wake kwenye kupunguza umaskini Tanzania. Kinaanza na sera zilizotungwa na kuetekelezwa kipindi cha Ujamaa na Kujijetegemea. Kina sura nyingine zinazo angalia mchango wa elimu kwenye ufanisi wa kilimo;mradi wa matrekta madogo aina ya ‘power tillers’ kwenye baadhi ya wilaya; awamu tatu za sera za ruzuku za pembejeo kwa wakulima wadogo; na kilimo cha tumbaku na hatima yake kutokana na mabadiliko kwenye soko na sera za kimataifa kuhusu zao hilo. Pia kuna sura moja inayolinganisha mbinu za ukuzaji mnyororo wa thamani kwenye zao la korosho nchini Tanzania na Vietnam na nyingine ambayo inagusia mambo muhimu ya kufanikisha ushirikiano kati ya taasisi za kiserikali na asisi zisizo za kiserikali katika kutekeleza na kufanikisha sera za kilimo nchini Tanzania.
Related Articles
The language of instruction debate in Tanzania: What is the choice of citizens amongst the international languages?
After seven years of the implementation of the 2014 education and training policy, this policy brief explores the choice of citizens of the medium of instruction amongst the international languages. The international languages are Arabic, Chinese, English, French, German, Kiswahili, and Portuguese. The findings will inform the debate on language of instruction in Tanzania, implementation […]
Post-harvest losses in marketed fruits and vegetables: evidence from selected markets in Dar es Salaam
A large portion of food loss, especially in Africa, occurs at production or during storage and handling stages (Ridolfi, Hoffmann, & and Baral, 2018). Distribution and marketing processes contribute a further 13% of overall food loss and waste (ibid). Post-harvest fruits and vegetable losses experienced during distribution and marketing is still an area which is […]
Urban Solid Waste Management in Tanzania: Our Work, Our Health
This policy brief examines health and safety conditions in Tanzania’s urban solid waste management practices. The analysis draws from a survey of 431 solid waste workers conducted in 2021 in Dar es Salaam, Mwanza, and Dodoma city councils. Read the full details below…
The Multi-Apping Dilemma: Safety and Earnings among Tanzanian Platform Workers
The safety risks of prolonged working hours in Tanzania’s platform economy are not thoroughly examined. This policy brief highlights the rise of multi-apping among Tanzanian platform workers and its impact on earnings and safety. It explores the trade-off between increased income prospects and safety risks. The brief offers stakeholders—including policymakers, platform operators, and worker associations—actionable […]