Hii ni taarifa fupi itokanayo na utafiti wa kitaalam kuhusu mchango wa mfumo rasmi na usiorasmi wa elimu, na upatikanaji wa ardhi na mikopo kwa uzalishaji kwenye kilimo Tanzania katika maeneo ya vijijini. Uchambuzi uliofanywa unasisitiza umuhimu wa elimu rasmi na ile isiyo rasmi, upatikanaji wa ardhi, na uzoefu wa muda mrefu wa stadi za kilimo katika uzalishaji sehemu za vijijini. Takwimu zinazohusu mchango wa elimu kwenye ubunifu na mapokezi ya teknolojia mpya zinaonesha kwamba mtu akiwa na elimu ya hadi kufikia miaka sita shuleni, nyenzo za kuzalishia na uzoefu wa kuhifadhi ardhi na mazingira, inamsaidia kuongeza tija kwenye kilimo na kujipunguzia umaskini. Kutokana na utafiti uliofanywa, inapendekezwa kuongeza uwezo wa wakulima kuwa wabunifu na kuwa na ujasiri wa kupokea na kutumia maarifa na teknolojia mpya na kuongeza nafasi na fursa za masomo kwenye mfumo wa elimu ulio rasmi na usio rasmi, upatikanaji wa ardhi, mikopo na huduma za ugani
Related Articles
The language of instruction debate in Tanzania: What is the choice of citizens amongst the international languages?
After seven years of the implementation of the 2014 education and training policy, this policy brief explores the choice of citizens of the medium of instruction amongst the international languages. The international languages are Arabic, Chinese, English, French, German, Kiswahili, and Portuguese. The findings will inform the debate on language of instruction in Tanzania, implementation […]
Post-harvest losses in marketed fruits and vegetables: evidence from selected markets in Dar es Salaam
A large portion of food loss, especially in Africa, occurs at production or during storage and handling stages (Ridolfi, Hoffmann, & and Baral, 2018). Distribution and marketing processes contribute a further 13% of overall food loss and waste (ibid). Post-harvest fruits and vegetable losses experienced during distribution and marketing is still an area which is […]
Urban Solid Waste Management in Tanzania: Our Work, Our Health
This policy brief examines health and safety conditions in Tanzania’s urban solid waste management practices. The analysis draws from a survey of 431 solid waste workers conducted in 2021 in Dar es Salaam, Mwanza, and Dodoma city councils. Read the full details below…
The Multi-Apping Dilemma: Safety and Earnings among Tanzanian Platform Workers
The safety risks of prolonged working hours in Tanzania’s platform economy are not thoroughly examined. This policy brief highlights the rise of multi-apping among Tanzanian platform workers and its impact on earnings and safety. It explores the trade-off between increased income prospects and safety risks. The brief offers stakeholders—including policymakers, platform operators, and worker associations—actionable […]