Historia ya sera nchini Tanzania imekuwa ni ya mabadiliko ya mara kwa mara ambayo lengo lake limekuwa ni kuongeza ufanisi na uzalishaji katika sekta muhimu za uchumi. Dokezo hili linatoa muhtasari wa kitabu kilichotokana na utafiti uliochunguza uwezo wa mabadiliko mbali mbali ya sera kuiongezea sekta ya kilimo, hususan wakulima wadogo, nguvu ya ushindani katika masoko mbali mbali ndani na nje ya Tanzania. Ushahidi utokanao na utafiti huu unaonyesha kwamba baadhi ya sera za kilimo zilizotungwa na kutekelezwa mara tu baada ya uhuru zilichangia kuzorotesha uzalishaji wa mazao ya biashara. Unaonyesha pia kwamba sera zilizolenga marekebisho ya kimuundo maarufu kama ‘structural adjustment’ na utandawazi hazikufanikiwa sana kuongeza uzalishaji kwenye kilimo kama ilivyotarajiwa. Kutokana na hilo hoja kubwa ni kwamba ili kuviondoa vikwazo hasi vya kisera kwenye mfumo wa soko vinavyopunguza ufanisi kwenye sekta ya wakulima wadogo, ni vizuri kutumia taratibu na mifumo ya kimasoko na isiyo ya kimasoko kwa uratibu mzuri wa pamoja.
Related Articles
Tanzanians applaud government performance on health, but it remains their top concern
This dispatch/ policy brief presents findings from a special Afrobarometer Round 10 survey module focusing on health care. READ ON by clicking the Download.PDF button…!
Why property tax reforms fail: Lessons from Tanzania
Over the past two decades, property tax administration in Tanzania has undergone substantial changes, shifting between decentralized and centralized collection models. However, despite numerous reform initiatives, these efforts have largely failed to boost tax revenues and improve property tax administration. This CMI (in collaboration with REPOA) Insight outlines five reasons why these reforms have not […]
Strengthening Decentralisation and Local Economic Development in Tanzania: Challenges and Opportunities
The research on decentralisation and Local Economic Development (LED) in Tanzania reveals several key challenges and opportunities. One major challenge is the inconsistency between decentralisation goals and actual implementation, where local government authorities (LGAs) often prioritize service delivery over economic development initiatives. The lack of adequate funding, inadequate capacity among local officials, and insufficient coordination […]
Strengthening Transparency and Accountability in the Decentralized Funding Systems to enhance Local Economic Development Contributions in Tanzania
The success of Local Economic Development (LED) in Tanzania is closely linked to the effectiveness of financial management systems at the local level. Improving transparency, building financial management capacity, and decentralising fund disbursement are critical for ensuring that LED initiatives are sustainable and aligned with community development needs. By addressing these challenges, Tanzania can enhance […]